Posts

Kumbukumbu Uholanzi na visa ya Schengen

Image
  Ufanye nini unapokuwa na saa 24 tu za kutalii katika nchi Fulani?hata mimi sifahamu,lakini ngoja nikusimulie kisa changu,pengine utapata cha kufanya. Mwaka 2023,nilipata ufadhili wa masomo ya muda mfupi nchini Uholanzi,ufadhili huo uligharamia safari ya kwenda na kurudi ,malazi na chakula cha asubuhi na mchana,huku tukilipwa yuro kumi kwa ajili ya chakula cha jioni kila siku.Ukweli ni kwamba ilikuwa mara yangu ya kwanza Kwenda bara la Ulaya,nilikuwa na furaha na shauku kubwa sana.Wakati nikijiandaa na safari,nilifanya utafiti na kugundua kuwa,nchi ya Uholanzi ni miongoni mwa nchi mwanachama wa eneo la Schengen,na kwa kupata visa ile nilikuwa na uwezo wa kutembelea takribani nchi 20 zaidi kwa kutumia visa ile moja,nilifurahi sana. Safari ya kutoka Dsm mpaka Amsterdam ilikuwa safari nzuri sana,iliyojaa hamu na ghamu,haswa ikizingatiwa kwamba nilikuwa nasafiri wakati ya ,majira ya Baridi(huko niendako)na nikitoka katika majira ya joto kali nchini mwangu. Kwenye ndege kutoka Ta...

Mafia Island,hidden paradise of Tanzania!

Image
  On 26 th September 2022, I embarked on journey to Mafia Island on quest for news report. As it was my first time in the Island, I was awed to find out that the airport was just a stone throw from the beautiful beaches but also close to Mafia Port. The tiny airport had all the important facilities, and it took us few minutes to locate our luggage and find our way out. I headed straight to Maisara Mafia Lodge, a local owned hotel of which I took refuge for the couple of days I was in Mafia. After freshening up, I decided to walk around and source the local eating place only to end up at a local bar known as Kosovo (idk if it still operates). Jumbo prawns,Lobsters, squid rings and octopus’ soup, I swear on that evening I ate my soul out to the most delicious seafood platter ever. The next day ,that being my first morning at the most beautiful ,isolated and cool island of Tanzania I had delicious breakfast of tropical fruits and Tanzania Coffee by the Beach, I can tell you(if ...

Meeting in the bush!

Image
  Ever wondered about being in the middle of nowhere and yet everywhere? The Nombolo Mdhluli Conference Center and Skukuza Lodge in the Kruger National Park can offer that. Named after the field ranger who served more than 40 years, the Nombolo Mdhluli conference facility can host up to 500 pax at a go. “Corporal Nombolo Mdhluli served the Kruger National Park as a field ranger from 1919 until his retirement in 1958. After retirement from Kruger National Park, he joined the Sabi sands where he served until 1971 which makes it a total of 52 years as the number of years of service.” Recognizing his long-term service which sometimes exposed him to the danger of wildlife, the conference hall was named after him in honour of his good service. Situated in the Mpumalanga province of the Republic of South Africa, at the heart of Skukuza, the facility is near the Skukuza Safari Lodge, an accommodation facility that can host all the 500 delegates attending a conference in the bush. F...